Warembo wanne walioingia Redds Miss Temeke 2013, baada ya kushinda mashindano ya Redds Miss Kigamboni yaliyofanyika mwishoni mwa wiki, wakipata maelezo kutoka kwa Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo Leo, Anicetus Mwesa walipotembelea chumba cha habari cha gazeti hilo na la Jambo Leo, Dar es Salaam
 Mpigapicha Mkuu  wa gazeti la Jambo Leo, Staa Poti, Jambo Brand Tanzania na Dar Metro, Richard Mwaikenda akiwapatia warembo hao elimu ya picha za habari.
 Warembo wanne walioingia Redds Miss Temeke 2013, baada ya kushinda mashindano ya Redds Miss Kigamboni yaliyofanyika mwishoni mwa wiki, wakizungumza na Mwandishi wa Habari wa gazeti dada la Staa Spoti, Zahoro Mlanzi walipotembelea chumba cha habari cha gazeti hilo na la Jambo Leo, Dar es Salaam
 Mwandishi wa habari za michezo, Asmah Mokiwa akizungumza na warembo hao
 Mhariri wa gazeti la Jambo Leo Jumapili, Said Mwishehe (kulia), akiwapa somo warembo hao
Warembo wakiangalia jinsi msanifu kurasa akiandaa gazeti.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2013

    NYWELE NYWELE JAMANI WADADA WA AFRICA. NANI KASEMA UZURI WETU MPAKA TUWEKE NYWELE ZA BANDIA. NO CONFIDENCE WITH OUR OWN SKIN..DEAR OH DEAR. INABD SASA HAWA WANAOTAFUTA WASHINDI WA MAMISS WAWE WANAANGALIA KAMA HAO MAMISS WANAKUWA WAZURI HATA WAKIACHWA NA NYWELE ZAO ZA ASILI. THAT SHOULD BE ONE OF THE PREREQUISITE.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 11, 2013

    Ni kweli mdau hapo juu umesema kweli tupu. Most ya hao Ma Miss ni ma-Pritenders!! Ha ha ha!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...