Waziri Mkuu Mizengo Pinda akihutubia wajumbe (hawapo pichani) wakati wa ufungunzi wa Mkutano Mkuu wa kujadili Utekelezaji wa Miradi ya Maji Vijijini, Jijini Arusha unaojadili utekelezaji wa kuwapatia wananchi wa vijijini huduma ya maji kwa mwaka 2012/2013 na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji huo.
Waziri wa Maji Prof. Jumanne Maghembe (Mb) akihutubia wajumbe (hawapo pichani) kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kujadili Utekelezaji wa Miradi ya Maji Vijijini, unaojadili utekelezaji wa kuwapatia.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Magesa Mlongo akiwakaribisha Wajumbe kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Kujadili Utekelezaji wa Miradi ya Maji Vijijini, jijini humo. wananchi wa vijijini huduma ya maji kwa mwaka 2012/2013 na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji huo.
Wajumbe wakifuatilia hotuba ya Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda hayupo pichani wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kujadili Utekelezaji wa Miradi ya Maji Vijijini, Jijini Arusha unaojadili utekelezaji wa kuwapatia wananchi wa vijijini huduma ya maji kwa mwaka 2012/2013 na kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...