Hayawi hayawi yamekuwa , Bwana harusi George Madinda akimvisha pete ya ndoa mkewake Nembris Jackson wakati wa ibada ya ndoa yao ilioyofanyika katika kanisa la Angrican Mt. Batholomea lililopo Ubungo ,na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es Salaam.
Bibi harusi Nembris Jackson akimvisha pete ya ndoa mme wake George Madinda wakati wa ibada ya ndoa yao ilioyofanyika katika kanisa la Angrican Mt. Batholomea lililopo Ubungo ,na kufuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Mbezi Garden jijini Dar es Salaam.
Bwana harusi George akiwa katika pozi la picha na mkewe Bi,Nembris baada ya kufunga ndoa yao Takatifu katika Kanisa la Anglican Mt. Batholomayo Ubungo jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika katika Ukumbi wa Mbezi Garden.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...