Lorry la mizigo limeanguka karibu na daraja la Mto Wami na kusababisha foleni ndefu sana na usumbufu kwa watumiaji wa barabara hii ya Dar-Moshi-Arusha
 Kabla ya ajali hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2013

    hivi hichi kidaraja na kinjia cha kupita gari moja kitafanyiwa lini mabadiliko?

    serikali inakomaa na ujenzi wa madaraja sehemu mbalimbali za nchi hivi hili hawalioni?

    pombe magufuli upo wapi? mbona unalifungia macho hili?

    hicho kinjia hata barabara ya kunifikisha kijijini kwangu huku ninapoishi ughaibuni ni kubwa pana kuliko hiyo HAIWEI ya hicho kidaraja?

    maendeleo tunayopiga debe kila kukicha ni maendeleo gani au ni maendeleo ya kutembelewa na viongozi mashughuli hali ya kuwa nje ya dasalame kumeoza?

    aibu aibu aibu hiyo barabara ni muhimu sana inaunganisha watu wa arusha moshi tanga na mpaka mombasa kenya jamani kuweni serious japo nusu pasenti.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2013

    Michuzi kwa kweli ni wakati muafaka wa kulifanyia marekebisho makubwa hili eneo la daraja la mto wami, naungana na huyo mdau wa hapo juu. Mi nafikiri utufikishie taarifa hii kwa waziri wa ujenzi tumechoka poteza uhai wetu, na jamaa zetu kwa kitu ambacho kinaweza saidia kuepusha ajali za mara kwa mara. hapo pajengwe daraja mbili moja la kuingia Dar lingine la kurudi tokea Dar. Na kila moja liwe na two ways on time. Tunajua serikali ikiamua inaweza ila ni kama haijaliamulia kulifanyia kazi hili swala, basi tunakuomba tena na tena tufikishie salamu hizi kwa wahusika. Ahsante usiibanie hii komenti

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2013

    bora daraja liendelee kuwa la njia moja maana madereva wa Bongo wakipatiwa daraja la njia mbili na mteremko mkali wa hapo darajani Wami, wengi watakufa kwa ajali za uzembe.

    Pombe Magufuli njia mmoja ktk daraja Wami ndiyo salama yetu.

    Mdau
    Mtumiaji vyombo vya moto.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...