Mhe. Begum Taj, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, akiongoza ujumbe wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Mawaziri wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika uliofanyika mjini Algiers, Algeria, tarehe 29/6/2013. Mhe. Balozi Taj aliambatana na Bw. Samwel Shelukindo, Afisa Ubalozi Mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania Addis Ababa. Mada ya Mkutano huo ilikuwa Maridhiano ya Kitaifa kama njia muhimu ya kuleta amani na maendeleo Afrika ( National Reconciliation as a critical factor for peace and development in Africa)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2013

    Viti vya Watanzania vilivyo wazi ni kwamba wamekwenda shopping au walichelewa ndege?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...