Balozi Liberata Mulamula akishuka kwenye gari Bethesda, Maryland wakati akitokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia Ijumaa July 12, 2013. Mhe, Mulamula ndiye Balozi wa Tanzania nchini Marekani aliyekuja kuchukua nafasi ya Balozi Mwanaidi Maajar aliyemaliza muda wake mwanzoni mwa mwaka huu. Kabla ya hapo Balozi Mulamula alikua Balozi wa maziwa makuu na msaidizi wa Rais mwandamizi katika maswala ya diplomasia.

Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Maafisa na Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani waliofika kumlaki kwenye yatakayokua makazi yake Bethesda, Maryland.

 Mhe. Liberata Mulamula akisalimiana na Maafisa na Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani waliofika kumlaki kwenye yatakayokua makazi yake Bethesda, Maryland.
Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Maafisa na Wafanyakazi wa Ubalozi (hawapo pichani) wakati walipomkaribisha nyumbani kwake, Bethesda, Maryland.
Watoto wa Mhe. Balozi Alvin na Tanya.
 Mume wa Mhe. Balozi, Bwn. George Mulamula.
Kaimu Balozi na mkuu wa Utawala na Fedha, Mama Lily Munanka katika picha.

Mhe. Balozi Liberata Mulamula akibadlishana mawili matatu na Maafisa na Wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wakati walipomkaribisha nyumbani kwake Bethesda, Maryland kushoto ni Afisa Ubalozi Mindi Kasiga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2013

    I am sure she will continue to pursue & appreciate the good work Balozi retired Mwanaidi had commenced. I have personally worked with the two, at various levels & I can boldly & safely confess that they are both workaholics with vision & dedication in all what they do. As for Liberata, In all the gatherings I attended as part of Regional Great lakes initiatives, I could not fail to wonder the the high tolerance & perseverance she had to manage parties from French speaking countries who by nature are quite vocal & hot tempered. She is truly a diplomat, god fearing personality. Mungu azidi kumwongoza na kumbariki in this new venture, amen.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2013


    god or God fearing?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2013

    all the best Mama!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2013

    Hongera Balozi. Karibu US. Let's not forget they are two different people with different leadership styles so hence let's not compare them. As for Balozi Mulamula just be yourself. I know you are capable. Continue to be strong and I believe you will represent Tz well.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...