Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri ya CCM wa Wilaya za Dimani, Mfenesini na Mkoa wa Magharibi Kichama katika mkutano maalum wa kukaribishwa kwake kuwa Mlezi wa Mkoa Magharibi Kichama.
Balozi Seif akikabidhi mchango wa shilingi Milioni 1,000,000/- kununulia Mabati kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi la CCM la Kilima Matange liliopo Jimbo la Muyuni kutekeleza ahadi aliyoitoa Mwezi Machi mwaka huu wakati wa ziara yake Mkoa Kusini Unguja.
Wajumbe wa Halmashauri ya CCM wa Wilaya za Dimani, Mfenesini na Mkoa wa Magharibi Kichama wakimsikiliza Mlezi wa Mkoa huo Balozi Seif Ali Iddi alipokuwa akikaribishwa rasmi kuwa mlezi wa Mkoa huo katika Mkutano uliofanyika katika Tawi la CCM Kiembe Samaki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...