Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2013

    wow! that was very cool of Obama, did you see him nodding his head with the beat? The guy always got rhythm

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2013

    Yaani plato alijua kabisaaaaaaa! kuna wa kutumbuizwa na watuimbwizwaji wota katika classes! obama anassuport kwa kichwa na kikwete anatabasamu tu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2013

    ni muhimu hizi ngoma zetu za tz zikaenziwa na kuwa endelevu kwa vizazi vijavyo

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 02, 2013

    To you Issa-Michuzi!
    Hongera sana kwa kazi kubwa uliyoifanya"this one is one of the best ever Video quality i never wach before!! you did a good job-keep it up

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 02, 2013

    Nimesoma comments za previous page, Najaribu kukuuliza maswali Lkn sipati Majibu. Watanzania mNA Akili gani? Kweli mnaons bora Mchina kuliko mmarekani?Mchina kuliko mmarekani? Acheni kufuata ushabiki wa media, kabla hujamlaumu Obama au marekani. Unatakiwa uijue marekani yenyewe na watu wake. Hamna nchi ambayo iko black and white kama wamerekani, wako straight forward and they care about humanity. Sasa nyie endeleeni kuingiza wachina Tanzania. Miaka 5 ijayo mtakuwa Hamna Tembo Wala vifaru Ukiachana na rasilmali nyingine. Chinese don't care about your black As*

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 02, 2013

    nakubaliana na mdau hapo juu, ingawa wa Marekani wana urafiki wa kinafiki most of the time (mara nyingi wana hidden agenda) lakini wako bora sana tena sana kuliko wa China.

    It 's better to have a smart enemy than.....

    Ni mtazamo wangu tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...