Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa (kulia) akishiriki kwenye hafla ya kufuturisha wateja wa kiislam wa Benki ya Azania ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano baina ya benki hiyo na wateja wake katika msimu huu wa Ramadhan
 Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa (kulia) akizungumza na waumini wa kiislam (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa wa Benki ya Azania jijini Dar es Salaam juzi yenye lengo la kuimarisha mahusiano baina ya benki hiyo na wateja wake katika msimu huu wa Ramadhan. Kushoto ni Afisa Mkuu Maendeleo ya Biashaara wa Benki ya Azania, Bw. Othman Jibrea.
 Baadhi ya wateja wa Benki ya Azania wakishiriki katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano baina ya benki hiyo na wateja wake katika msimu huu wa Ramadhan. Picha na mpiga picha wetu.
 Watoto nao walipata nafasi ya kujumuika kwenye hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na Benki ya Azania ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano baina ya benki hiyo na wateja wake katika msimu huu wa Ramadhan. 
 Afisa Mkuu Maendeleo ya Biashaara wa Benki ya Azania, Othman Jibrea akitoa machache wakati wa hafla hiyo.
 Mkurugenzi Rasilimali Watu wa Benki ya Azania Bernard Haule (kushoto) akiwakaribisha wateja wa benki hiyo kwenye hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki yake jana ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mahusiano baina ya benki hiyo na wateja wake katika msimu huu wa Ramadhan. Kushoto ni Afisa Mkuu Maendeleo ya Biashaara wa Benki ya Azania, Othman Jibrea. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...