Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Waziri wa Uingereza
anayeshuhulikia masuala ya Afrika Bw.Mark Simmonds,alipofika Ikulu
Mjini Zanzibar,leo asubuhi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Waziri wa Uingereza
anayeshuhulikia masuala ya Afrika Bw.Mark Simmonds,alipofika Ikulu
Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Waziri wa Uingereza
anayeshuhulikia masuala ya Afrika Bw.Mark Simmonds,alipofika Ikulu
Mjini Zanzibar,baada ya mazungumzo yao leo.[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.}
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...