Mchezaji wa Kimataifa Mtanzania, anayechezea timu ya kikapu ya Oklahoma City Thunder ya Marekani, Hasheem Thabeet akiwapungia mikono wapenzi wa soka wakati wa mechi ya Taifa Stars na timu ya Uganda 'The Cranes'ya kuwania kufuzu michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani (CHAN), kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
 

Mchezaji wa Kimataifa Mtanzania, anayechezea timu ya kikapu ya Oklahoma City Thunder ya Marekani, Hasheem Thabeet akiwasalimia wapenzi wa soka wakati wa mechi ya Taifa Stars na timu ya Uganda 'The Cranes'ya kuwania kufuzu michuano ya Afrika ya wachezaji wa ndani (CHAN), kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, leo. Uganda Cranes wameshinda bao 1-0

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2013

    Karibu nyumbani hasheem, majonzi kwa kupoteza mechi muhimu ya leo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2013

    Was demoralized after reading Samata and Ulimwengu will not join the team. I might be wrong but i guess they have a potential influences in their presence.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 14, 2013

    Tutaishia kusindikiza wenzetu kila mwaka

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 14, 2013

    Huyu Hashim kumbe ni Chadema? Manake anapiga People's Power.

    ReplyDelete
  5. mbona taifa stars wanafungwa kila siku?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...