Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2013

    mwenyezi mungu amlaze mahala pema peponi amin

    ReplyDelete
  2. mzee wa bunjuJuly 23, 2013

    Inna Lillah waina ilaihi rajiuun,, post hii imenigusa mpaka nimelia offisini,, mimi pia nimefiwa na mke wangu kipenzi mwaka 2009,, mpaka waktai anakata roho alitamka kuwa ananipenda sana ila hana jinsi, amekufa nikimuona mke wangu na kwa kweli alinipenda nikampenda ila Mola alimpenda zaidi.

    ReplyDelete
  3. mzee wa bunjuJuly 23, 2013

    nimegushwa nimelia,, kufiwa na mke au mume ni mtihani mkubwa toka mwaka 2009 mpaka leo bado nalia kifuani mwangu natabasamu lakini ndani nalia

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 23, 2013

    pole sana mzee wa bunju.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 24, 2013

    Tuweke imani na tukumbuke tu kuwa kila nafsi itaonja mauti Ishallah Mungu atuzinduwe tuepukane na ghururi ya dunia ili tufikie mahali pema tutaporejea kwake

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...