| Mhe. McCully nae akimweleza Mhe. Membe masuala ya msisitizo katika kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizi mbili ikiwemo ushirikiano katika masuala ya biashara na kilimo. |
| Mhe. Membe na wajumbe kutoka Tanzania na New Zealand wakimsikiliza Mhe. McCully. |
| Mhe. Membe akimkabidhi Mhe. McCully zawadi ya kinyago mara baada ya mazungumzo yao. |


Very interesting..wasaidizi wa waziri wetu wanatumia iPAD lakini wale wa waziri wa New Zeland wanatumia karatasi...
ReplyDeleteOMG, angalia tunavyojimaliza!! Wakati wageni wanaandika kwenye karatasi za kawaida, wenzangu (walioendelea kiteknologia) wemeweka mionzi mapajani, madhara yake tutayaona hivi karibuni. Natumaini hawa wameshamaliza mpango wa kuumba, otherwise..........
ReplyDeleteanonymous 1
ReplyDeletekitu gani kimekushangaza hapa
wasaidizi wa waziri wetu kutumia IPAD na watumishi wa waziri wa New Zealand kutumia karatasi?
Kimtazamo ungetuandikia maoni ya waziri hon.B.Membe na serikali kwa ujumla kufanya vizuri katika maendeleo ya kuichumi na siasa za nchi za nje hadi kuwavutia mataifa madogo na makubwa kuja kuwekezea.
mikidadi-denmark
Anon July 22, 2013 wala usishangae sana sisi watu weusi umaskin wetu upo kwenye akili..hata tukienda shule hautoki unless labda tuishi na wenye utajiri wa akili kwa muda mrefu sana!
ReplyDeleteUnashangaa hilo ndugu yangu??mbona hushangai magari V8 yaliyopo tele wakati wamama wanajifungulia sakafuni?tuna ile mentality ya ku-grab kila kitu kizuri kiwe chetu binafsi tu.
J4
Ujerumani
Ikingekua kinyume chake mngesema pia....fanyeni yenu acheni ku critize kila kitu
ReplyDelete