Mbunge Msigwa na  mkuu  wa  wilaya ya  Iringa  wakitazama  ndizi aina ya Jamaica inayolimwa Mtwivila Iringa iliyoletwa katika maonyesho ya  serikali za mitaa mjini Iringa
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini akiwasili jukwaa kuu na kusalimiana na mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba.
Mkuu  wa wilaya ya  Iringa Dr Leticia  Warioba akimtazama  kwa makini  askari wa kikosi cha  zimamoto mjini Iringa akionyesha jinsi  ya kuzima  moto
Watangazaji  wa kituo  bora  cha matangazo  cha  televisheni ya  Manispaa ya  Iringa (IMTV) wakiwa katika banda lao la maonyesho leo katika  viwanja vya Mwembetogwa mjini Iringa (picha zote na Francisgodwin Blog -mzee wa matukio  daima)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...