Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akihoji bei ya maboga katika soko la Mombasa, wakati wa ziara yake ya kutembelea soko hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiangalia mboga mboga katika soko la Mombasa, wakati wa ziara yake ya kutembelea soko hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akihoji bei ya samaki katika soko la Mombasa, wakati wa ziara yake ya kutembelea soko hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akihoji bei ya nazi katika soko la Mwanakwerekwe, wakati wa ziara yake ya kutembelea soko hilo. Nazi moja inauzwa kati ya shilingi 200 hadi 400 (bei ya jumla).
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akihoji bei ya muhogo katika soko la Mombasa, wakati wa ziara yake ya kutembelea soko hilo. Fungu la muhogo linapatikana kwa bei ya shilingi 1000 hadi 2000.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akihoji bei ya muhogo katika soko la Mwanakwerekwe, wakati wa ziara yake ya kutembelea soko hilo. Fungu la muhogo linapatikana kwa bei ya shilingi 1000 hadi 2000.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2013

    huyu ndio kiongozi sio mambo yakukaa ofisini kuletewa habari kwamdomo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2013

    Anon wa kwanza:

    Kama kweli twpima uongozi kwa vigezo hivi BASI tujitayarishe kwa majanga. Yeye alitakiwa aagize mtu afanye hilo na kumplekea taarifa siyo kuzurura na kufanya non-issues. Hii ni kutafuta cheap popurality. Kuna mengi ambayo angefanya badala ya kupoteza muda ktk masuala trivial kama haya

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2013

    huenda meenda kununua futari,mbona asiende siku zote

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2013

    Hongera kiongozi
    Lakini nasikia kuwa bei ya mbatata, mihogo na kadhalika mwaka huu imekuwa balaa tupu.Watu hawawezi kupika traditional futari kwa bei za juu za vifaa.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 15, 2013

    Wewe Mdau wa Pili (2)hapo juu kwa Taarifa yako Uongozi ndivyo unavyoakiwa siyo kutuma Wawakilishi ama kupokea taarifa kwa njia za Simu.

    Upo Dunia gani?,

    Hukusikia siku zile kule nchini Chile Wachimbaji wa Madini walipofunikwa na kifusi kwa Miezi Mitatu (3) wakiwa chini aridhini , dunia iliona Raisi wao akishinda kwenye Kambi na Waokoaji hadi wote wachimbaji 33 wakaokolewa baada ya miezi mitatu arihdini...sasa unafikiri Raisi wa Chile angekaa Ofisini morali na ari ya waokoaji ingekuwepo?

    Hujawahi kusikia mambo yakiwaharibikia Viongozi kwa kuendesha mambo kawa mtindo wa kupokea taarifa kwa njia ya simu?

    Hujawahi kusikia Viongozi wakituma Wawakilishi na matokeo yake wawakilishi wakaboronga huku wakileta Ofisini taarifa za Upotoshaji na uongo?

    Muda tulionao sio wa kuamini sana watu kwenye mambo yetu likiwemo la utendaji ktk uongozi.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 15, 2013

    Huyo ndio kiongozi anayejali anaowaongoza, angelikaa tu ofisini akapepewa na viyoyozi ila amaeamua kuona kwa macho siyo kupewa taarifa. Hongera na nimefurahishwa na kuona mifuko ya karasi tu hapo inauzwa na sio plastiki, tutunzeni mazingira yetu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...