Karibu katika sehemu ya kwanza na ya pili ya mahojiano kati ya Sunday Shomari na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Siku ya Jumatano Julai 17, 2013 jijini Washington DC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2013

    Angalau unaweza kujivunia kuwa Sunday shomari anaijua kazi yake na hii itawasaidia sana waandishi wa habari wengine kujua la kufanya wanapokutana na viongozi.
    Kazi nzuri sunday shomari.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 29, 2013

    Go Lowassa Go.....

    Kuanzia 2015 tutakuwa tunapata press conferences nzuri sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...