Mke  wa  waziri  mkuu Mama  Tunu Pinda ( wa tatu  kushoto) akiwasikiliza  viongozi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya TARWOC DROP-IN iliyopo Mkimbizi mjini Iringa pindi alipotembelea  taasisi  hiyo. Wengine  pichani ni viongozi wa taasisi hiyo akiwemo mkurugenzi wake Mhe. Lediana Mng'ong'o ambae ni mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa  wa tatu  kushoto na wapili  kushoto ni mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya  Iringa  Terresia Mahongo
Siku ambayo  shirika lilionyesha mfano kwa  kutoa Baiskeli kwa Mbalozi wa Kata 20 wakisubiri kukabidhiwa usafiri wa Baiskeli nje ya kituo cha shirika la TARWOC DROP IN.    

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...