Mke wa waziri mkuu Mama Tunu Pinda ( wa tatu kushoto)
akiwasikiliza viongozi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya TARWOC DROP-IN
iliyopo Mkimbizi mjini Iringa pindi alipotembelea taasisi hiyo. Wengine pichani ni viongozi wa taasisi hiyo akiwemo mkurugenzi wake Mhe. Lediana Mng'ong'o ambae ni mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa wa
tatu kushoto na wapili kushoto ni mkurugenzi wa Halmashauri ya
Manispaa ya Iringa Terresia Mahongo
Siku ambayo shirika lilionyesha mfano kwa kutoa Baiskeli kwa Mbalozi wa Kata 20 wakisubiri kukabidhiwa usafiri wa Baiskeli nje ya kituo cha shirika la TARWOC DROP IN.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...