Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Hermas Mwansoko akifafanua jambo kwa waandishi wahabari alipokutana na Wageni kutoka Taasisi ya Right To Play leo jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Right To Play International ambaye pia ni mwanzilishi wa Taasisi hiyo Johenn Olav Koss akisisitiza jambo katika mkutano baina yake na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo leo jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Right To Play Tanzania Bibi Josephine Mukakalisa (Kulia) akifafanua jambo katika mkutano wa Taasisi yao na uongozi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo jana jijini Dar es Salaam,Kushoto ni Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Right To Play International Johenn Olav Koss.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leonard Thadeo akifafanua jambo kwa waandishi wahabari alipokutana na Wageni kutoka Taasisi ya Right To Play leo jijini Dar es Salaam,Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Michezo Bibi Juliana Yassoda.







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...