Timu za Airtel Rising Stars zikiingia kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam tayari kwa ufunguzi rasmi wa ARS ngazi ya Taifa jana Jumanne Julai 2, 2013.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano – Mallya akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa uliofanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam jana Jumanne Julai 2, 2013.
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Airtel Rising Stars ngazi ya Taifa uliofanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam jana Jumanne Julai 2, 2013.
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa TAMISEMI Mheshimiwa Kassim Majaliwa akikagua timu za mikoa ya Mwanza na Ilala ambazo zilichuana kwenye hafla ya kufungua rasmi mashindano ya Taifa ya Airtel Rising Stars kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam jana Jumanne Julai 2, 2013. Mwanza ilishinda 3-1.
Mashabiki wa soka wakishuhudia vipaji vya soka wakati wa mechi ya Airtel Rising Stars kati ya Mwanza na Ilala kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam Jumanne Julai 2, 2013. Mwanza ilishinda 3-1.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...