Bili ilivyomchanganya Masawe; Masawe alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya kumaliza kunywa bili ikaletwa kama ifuatavyo;

1). Manka       = sh.35,000.
2). Marieta      = sh.20,000.
3). Kekuu        = sh.30,000.
4). Kitime        = sh.10,000.
5). Kinabo       = sh.15,000.

TOTAL           = SH.110,000.

Masawe akaicheki bili akasema; wote nitawalipia lakini huyo TOTAL ''Yesuu'' simlipii kabisa. Kwansa anamiliki sheli kibao sa mafuta hapa Bongo...shensi taaip! na amekunywa nyingi kuliko wote, alipe mwenyewe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Huyu atakuwa ni MUURU tu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 04, 2013

    Ahahaaa! nimekukubali mjomba chibiriti

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 04, 2013

    hahahahahaha u made ma day chibiriti

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 04, 2013

    Hii ni hatari lakini salama.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...