Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya UraniumOne ambao ni Wamiliki pia wa Mantra Tanzania,Chris Sattler akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Mambo mbali mbali yanayohusu Mradi wa Mgodi wa Madini ya aina ya Uraniaum,unaotaraji kuanza kujengwa baada ya taratibu zote kukamilika.Mgodi huo upo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Selou, Mkuju Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma.

CHINI MAELEZO YA KUYAFAHAMU MADINI YA URANIUM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mheshimiwa Michuzi assalaam alaykum, naomba kama tungepata kaimu ya misamiati ya kitaaluma iliyotumika katika makala haya ili wengi wetu tuweze kufaidika kwani watanzania tumefundishwa masomo ya kemia na fizikia kwa lugha ya kiingereza, hivyo basi tukitafsiriwa makala ya kitaaluma yoyote wengi wetu tutatatizika kwa misamiati inayotumika.

    Ahsante nakutakia Ramadhaan njema.
    Ibrahim.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2013

    HONGERA MTUNZI, KWA KAWAIDA KITU KIKIANDIKWA KITAALAM HATA KAMA KIINGEREZA, KICHINA, KIJERUMANI, KIRUSI N.K. NI LAZIMA KUNA MANENO ITABIDI TUTAFUTE MAANA YAKE HALISI KWA LUGHA ZINZOELEWEKA (ZA MITAANI). TUIENZI LUGHA YETU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...