Mhe. Rais Mustaafu Ali Hassani Mwinyi akishuka kwenye gari akitokea uwanja wa ndege wa kimataifa Dulles Sterling, Virginia Mhe. Mwinyi amekuja kwa ajili ya Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na sherehe ya miaka 3 ya Blog ya Vijimambo litakalofanyika Jumamosi July 6, 2013.
 Rais Mustaafu Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Afisa habari Mindi Kasiga wakati alipokua akiingia Hotelini.
 Rais Mustaafu Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Afisa Ubalozi Bwn. Mwafongo huku Kaimu Balozi Mama Lily munanka akiwatambulisha.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na mwanakamati wa kamati ya maandalizi ya miaka 3 y.a Vijimambo na Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili Marekani
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Katibu wa kamati ya maandalizi, Asha Nyang'anyi.
 Juu na chini ni Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na watoto watakaompa maua.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na katibu msaidizi Bwn. Julius Katanga, na Masanja Mkandamizaji akiwatayari kusalimiana na Mhe. Ali Hassan Mwinyi.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana akisalimiana na Shilole.
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi akipokea maua toka kwa Munirah
 Rais Mustaafu, Ali Hassan Mwinyi pamoja na mkewe Sitti Mwinyi katika picha ya pamoja na Brian, na Munirah, watoto waliowapa maua.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 06, 2013

    Wasanii wetu naona masnepu bado yanaendelea tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...