Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Joseph Kuzilwa (kushoto) akizungumza siku ya uzinduzi wa kozi mpya kusimamia miradi mikubwa ya kimataifa iliyoanzishwa na Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Taasisi ya ISAE ya Brazil. Wa pili kustoto ni Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam, Prof. Andrew Mbwambo, Mratibu wa Taasisi hiyo ya Brazil Bi. Rebecca Giese (kulia) na Prof. Wanderlei Marinho da Silva wa taasisis hiyo (wa pili kulia).
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Joseph Kuzilwa (kulia) akipokea nyaraka mbalimbalikwa ajili ya kufundishia kutoka kwa Mratibu wa Taasisi ya ISAE ya Brazil, Bi Rebecca Giese wakati wa siku ya uzinduzi wa kozi mpya kuhusu usimamizi wa miradi mikubwa ya kimataifa jana jijini Dar es Salaam. Kozi hiyo imeanzishwa na Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Taasisi ya ISAE ya Brazil.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Joseph Kuzilwa (kushoto) akifuatilia jambo wakati wa uzinduzi wa kozi mpya na ya kwanza ya kimataifa ya maswala ya kusimamia miradi mikubwa ya kimataifa iliyoanzishwa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Taasisi ya ISAE YA Brazil. katikati ni Profesa Wanderlei Marinho da Silva wa taasisis hiyo ya Brazil na kulia ni Mratibu wa Taasisi hiyo, Bi. Rebecca Giese.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...