Naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge akitia saini katika kitabu cha wageni katika ofisi ya kata ya Mbokomu wakati akifanya ziara ya kukagua miradi ya maji katika wilaya ya Moshi vijijini.
Naibu waziri wa maji Dk Bilinith Mahenge akitembelea kukagua miradi ya maji ya Mbokomu wilaya ya Moshi vijijini.
Wakandarasi wa ujenzi wa matangi ya maji katika mradi wa Mbkomu wakibeba nagazi ambayo naibu waziri alitaka kupanda juu ya Tangi hilo kujione ujenzi ni wa kiwango kinachohitajika ama la.
Kisha naibu waziri wa Dk Mhenge akatembelea chanzo cha maji kilichoko mto Whona ambacho maji yake yanatumiwa na wakazi wa mji wa Himo.
Wakazi wa Himo wakichota maji kwa ajili ya matumizi ya Nyumbani na biashara.Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2013

    bora naibu afanye ziara hii kwa sababu maji ya moshi si mazuri hata ya arusha yana too much madini na ndo maana wakazi wa huko wanakuwa na meno manjano si kukashifu lakini ni ukweli wa mambo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...