Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmshauri ya Mji wa Babati Mjini Mkoani Manyara, Bw. Janes Dabare (kulia) akichangia hoja katika eneo la mihimili ya Dola katika Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji huo jana Ijumaa (Julai 26, 2013).
Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara wakiwa katika mjadala wa kuipitia Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji huo jana Ijumaa (Julai 26, 2013).
Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmshauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara, Bw. Askari Emeda (kushoto) na Bi Zubeda Iddi wakisoma vipengele vilivyopo katika Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati wa mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji huo jana Ijumaa (Julai 26, 2013).
Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara Bw. Simon Mahenge akichangia hoja wakati wa mkutano wa kuijadili Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliofanyika jana (Ijumaa Julai 26, 2013). (PICHA NA TUME YA KATIBA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2013

    katiba mpya ina wanufaisha wana ccm na viongozi wake si kwa ajili ya vyama vinginewe na wazanzibari period so tumeshaichambua na kuona mchana kweupe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...