Naibu waziri wa maji Dk Binilith Mahenge akipokea taarifa kuhusu ziwa Chala lililoko wilayani Rombo kutoka kwa afisa wa Bonde la maji la Pangani Mtoi Kanyawana.

 Naibu waziri wa maji Dk Binilith Mahenge akichukua taswira ya ziwa Chala lililoko wilayani Rombo wakati wa ziara kutembelea miradi mbalimbali ya maji katika wilaya hiyo.
Naibu waziri wa maji Dk Binilith Mahenge katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa mamlaka ya maji wa mkoa wa Kilimanjaro wakati wa ziara yake kutembelea ziwa Chala.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2013

    Asante sana Michuzi kwa kunikumbusha nyumbani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...