Kikosi kazi cha Ngoma Africa band aka FFU ughaibuni kinatarajiwa kutingisha jukwaa la Jambo Seeheim usiku wa jumapili 28.Julai 2013 kuanzia saa 2.00 usiku katika ukumbi wa Sport & Kulturhalle uliopo Berg Strasse,mjini Seeheim-Jugenheim,huko Ujerumani. Bendi hiyo maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya itavaana tena jino kwa jino na washabiki wa muziki katika International African Festival tubingen 2013 siku ya ijumaa ya 9 na 10 .08.2013 mjini Tubingen,South Germany. Wadau kaeni tayari tayari kwa gwaride la FFU wa Ngoma Africa band. msikose kuwasikiliza at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2013

    Si mchezo FFU tena viwanjani? Kamanda mwana wa makunja na kikosi kazi ffu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 21, 2013

    kamanda mkuu ras makunja aka jemadari mtawala wa imaya ya anunnaki,naona sasa kumekucha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...