Home
Unlabelled
rais kikwete achezesha MECHI YA SIMBA NA YANGA (WABUNGE) uwanja wa taifa leo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Inatia moyo kwamba waheshimiwa wameona umhimu wa mazoezi badala ya kubweteka na kulea vitambi, wakiendelea na utaratibu huu bila shaka watafikiri vizuri zaidi. Hongereni
ReplyDeleteGood move Mr.President....Nimependezewa sana na uwepo wa MheshimiwaRais katika mkusanyiko huu. Ni Rais wetu na anajitia kushiriki katika hata michezo ambayokwayo inaboresha sana maisha afya na mshikamano kwa ujumla.Mungu bariki nchi yetu watu wake na Viongozi wetu.
ReplyDeleteUkiona mpaka saa hizi ankal hajaweka matokeo basi ujue mnyama kashachezewa ushanga huko Bongo. Sisi wa ughaibuni tunajua kusoma alama za nyakati.
ReplyDeleteMdau wa 3 Simba amelaliwa kihalali kabisa jana.
ReplyDeleteNi kitu kinacho julikana ya kuwa Kibonde wa Yanga SC ni Simba SC.
Yanga BUNDUKI babake!
ReplyDeleteMwanzo mwisho yaani hata wajikusanye Wavuvi wa samaki huko Majuu Ughaibuni Yanga na Simba, utaona Simba wakilaliwa pia wakigandamizwa vibaya kabisa na Yanga!