Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Mhe. Tony Blair Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 23, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwonesha mandhari mbalimbali Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Mhe. Tony Blair Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 23, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Mhe. Tony Blair Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 23, 2013.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Mhe Tony Blair na mkewe Cherrie Blair alipokutana nao Ikulu jijini Dar es salaam leo Julai 23, 2013.PICHA NA IKULU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2013

    Blair huyo; kajaaliwa kuzungumza lakini ni hatari sana.Ni vyema anayezungumza naye awe ameshaainisha INTEREST zake na "NEGOTIATION" yeyote iwe ndani ya hiyo "INTEREST". Kama nipe nikupe ni vyema kuthaminisha unachotoa na unachopokea; nje ya hapo ni blah blah. Na huyu ni hatari sana kwa Watanzania na Tanzania kwa ujumla. Anafikiria kwa maslahi ya Uingereza tuuuuuuuuu lakini hatokuambia kama anafikiria hivyo, anaweza jifanya anatuonea huruma; lakini wapi---kaba shingo ya watanzania

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2013

    Blair is the best politician in the history of politics, the likes of him is not yet seen.The world need people like him, but is not easy to find someone like him.clever, intelligent and hard working man. god bless you blair.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...