Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua rasmi jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Bukoba mapema leo asubuhi.Kushoto ni Jaji Mkuu,Mhe. Mohamed Chande Othman.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya ukaguzi wa Jengo hilo mara baada ya kulizindua rasmi leo asubuhi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Jakaya Kikwete (katikati) , Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman wa pili kushoto, Jaji Mkuu wa Zanzibar,Mhe. Othman Makungu (wa Tatu ), Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Fakih Jundu (wa pili kulia), Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba, Mhe. Gad Mjemmas,kulia,Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Mathias Chikawe (wa pili kushoto)na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Ltn Mstaafu, Fabian Massawe wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Mahakama Bukoba Mara baada ya uzinduzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba. (Picha na Mary Gwera,Mahakama ya Tanzania)
Muonekano wa jengo la Mahakama Kuu Bukoba lililozinduliwa na rais.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2013

    Kagera oyeeeeeeee! mmeingia kwenye ramani. Mie nilifikiri kagera iko Uganda

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...