Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Mhe Lennarth Hjelmaker aliyeonana naye kwa ajili ya kuwasilisha Ujumbe kutoka Serikali yake leo Ikulu, jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi wa Sweden nchini Mhe Lennarth Hjelmaker aliyeonana naye kwa ajili ya kuwasilisha Ujumbe kutoka Serikali yake leo Ikulu, jijini Dar es salaam. 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Hamisi Amir Msumi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Hilda A. Gondwe kuwa Mjumbewa Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma leo Ikulu jijini Dar es salaam.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 11, 2013

    Hilda Ausi Gondwe huyu mama kichwa .Kikwete tunakushukuru kwa kumrudisha mama mstaafu serikalini..Alikuwa katibu mkuu wetu wizara ya afya pale mama gondwe alikuwa poa mnoo.Hongera Hilda Ausi Gondwe hawa ndio wastaafu tunaowahitaji.Big up Kikwete nimefurahi kweli kumuona Huyu mama gondwe hapo very humble huyu mama

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 11, 2013

    MAMA GONDWE is back .Chezea mama gondwe

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 12, 2013

    Jaji Msumi nae swaaaafi hana makuu.
    Mara moja moja utamkuta pale Temeke kakaa kibarazani kimiyaa.Asante kwa kuendelea kulitumikia Taifa Jaji.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2013

    Kumbe mama Gondwe baba ake Dr Waane wa makumbusho na muona Kwenye Picha hapo .

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...