Tafadhali usikose kujiunga nasi leo Ijumaa tarehe 12/7/2013 ifikapo Saa Nane Kamili hadi Saa Tisa Kamili (2pm-3pm) kwa mahojiano ya moja kwa moja ( Live Chat) na mkali wa Vodacom Chiku a.k.a Vitamin D+. Chiku ataongelea mambo mbali mbali yakiwemo namna ya kushiriki zoezi la kuwa Mkali wa Vodacom na fursa alizopata kama Mkali wa Vodacom. Kuwa live na Mkali wa Vodacom leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...