Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2013

    Siyo kila mtanzania anayeishi DMV ni CCM. Kwahiyo ni vizuri kuwaalika wana-CCM na siyo watanzania wote.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 04, 2013

    Nadhani ni bora ukatuwekea kijiwe cha ughaibuni kuliko haya mambo anayoyazungumzia dada salma moshi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 04, 2013

    taarifa imejaa kigugumizi

    ReplyDelete
  4. Mkutano tarehe 7, leo tarehe 4 unasema 'tutawaambia mahala pa mkutano baadae..."

    unahimiza watu waje kwenye mkutano halafu pa kukutana we mwenyewe hupajui!!

    Watanzania mambo ya kuji organize ni zero... na maendeleo is all about kuji organize...hatujui kuji organize.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...