Mkuu
wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu kulia na Meneja kampuni ya bia (TBL)
Nicolaus Kanyamala wakizindua kisima cha kijiji cha Isnura
|
Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu akiwashukuru TBL kwa kusaidia maji katika kijiji cha isnura na kuahidi kukitunza kisima hicho |
Mwenyekiti wa Kijiji cha Isnura Josphine Ndimilage akisoma risala kwa niaba ya wananchi |
Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Gulam Kiffu akimtwisha maji mwenyekiti wa kijiji cha isnura Josephine ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kisima hicho |
vzuri maji ni uhai lakini ki ukweli bado tuko nyuma sana fanyeni maji yawapo majumbani sio kutwishana midoo ya maji kichwani imepitwa na wakati tuko kwenye karne ya kisasa
ReplyDelete