Juu na chini ni Rais Mstaafu Mhe. Ali Hassan Mwinyi akiongea machache katika chakula cha jioni alichoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani katika kumuaga baada ya kumaliza ziara ya siku tano aliyofanya Washington, DC na kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la utamaduni wa Kiswahili Marekani lililofanyika Jumamosi July 6, 2013 Capitol Heights, Maryland.
Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi akiingia Ubalozini kwenye chakula cha jioni alichoandaliwa na Ubalozi huo kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza ziara yake ya siku tano.
Juu na chini ni Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC wakiwemo wanakamati wa miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la utamaduni wa Kiswahili Marekani.
Afisa Ubalozi Suleiman Saleh akitambulisha wakati mbele ya mgeni rasmi na wageni waalikwa kwenye chakula hicho na kumtakia safari njema .

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...