Ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji linalojengwa katika shule ya msingi Maulu kata ya Kipagalo wilayani Makete ukiendelea kwa kasi kubwa, kutokana na shule hiyo kukumbwa na uhaba wa maji hasa wakati wa kiangazi hali inayopelekea wanafunzi kupata tabu ya kujisaidia kutokana na vyoo kuwa ni vya kutumia maji. Ujenzi huo umefadhiliwa na AMREF
 Hapa mafundi wakiwa kazini kama uonavyo
 bado kidogo tuu ujenzi huo utakamilika
Jamaa akiwa jikoni mwenyewe kujipikia ugali kwa ajili yake na mafundi wenzake wanaojenga tanki hilo(Picha zote na mdau Edwin Moshi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 04, 2013

    Kitu cha ugali hiko! easy and simple.Basi hapo ukipata na ng`onda akaa maisha yanakwenda taratibu wanaotaka makuu na wende huko Darislam.

    ReplyDelete
  2. Muandishi tafadhali, japokuwa jina hilo limetokana na lugha ya kigeni TANK, lakini kwa kiswahili fasaha linaitwa TANGI siyo Tanki.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...