Katibu Mkuu wa Umoja wa  Mataifa akifungua majadiliano ya siku moja kuhusu kukosekana kwa fursa sawa katika jamii na hivyo kufanya pengo kati ya walionacho na wasionacho kuongezeka hali ambayo amesema kama hujudi za makusudi  hazitachukuliwa  pengo hilo na tofauti  hizo katika jamii zinaweza kuwa chimbuko kubwa la  migogoro, machafuko, milipuko ya magonjwa uhalibifu wa mazingira na kudhoofu kwa maendeleo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...