VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAUZWA VYA UKUBWA MBALIMBALI.VIPO VIKAWE HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA,NI KARIBU ZAIDI KUPITIA BARABARA YA BAGAMOYO,SHUKA NJIA PANDA YA VIKAWE/BAO BABU SEKONDARI,NI KILOMETA 9 MPAKA KWENYE VIWANJA.KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU AMA WASILIANA KWA NAMBA HII 0782122885 KWA MAZUNGUMZO ZAIDI.
KARIBUNI NYOTE.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...