IMG_8550Rais Jakaya Kikwete (aliyenyoosha mkono) akitembelea  Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa  yanayoendelea katika viwanja  vya  Mwalimu  J. K Nyerere  jijini  Dares Salaam.kushoto kwake ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk. Abdallah Kigoda. 
IMG_8637 IMG_8571Rais   Jakaya   Kikwete  akipata maelezo kutoka kwa n Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo  na Makazi(UNHABITANT) Phillemon  Mutashubirwa  kuhusu wanavyofanya kazi ya kusaidia watoto wa shule  na  wanawake kwenye Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa  yanayoendelea katika viwanja  vya Mwalimu  J. K Nyerere  jijini  Dares Salaam.
 IMG_8636Rais Jakaya  Kikwete (kulia)  akiangalia  mafuta ya ubuyu  na bidhaa zingine kwenye banda la  Mfuko wa Fursa Sawa Kwa wote(EOTF) kwenye Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa  yanayoendelea katika viwanja  vya  Mwalimu  J. K Nyerere  jijini  Dares Salaam .Kutoka (kushoto)  wa pili ni Mwenyekiti wa EOTF Mama Anna Mkapa  (kushoto) ni Mkurugenzi  Mtendaji wa Stephen Emmanuel. 

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 04, 2013

    Du ulinzi kama obama.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 05, 2013

    Hakuna kitu, wewe ulinzi wa Obama uliuona au ameusikia tu? Hapana chezeya marekani wewe!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 05, 2013

    Wajasiliamali jamani jitahidini usafi, na uaminifu katika kutengeneza bidhaa hasa vya kula. Mafuta ya ubuyu ni mazuri kwa afya lakini wajanja wameanza kupaki korie kwenye chupa zenye lebo ya ubuyu.

    Pia heshimuni na wale wanaowafadhili.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 05, 2013

    sabuni zinazotengenezwa na wajasiliamali zina kemikali inaathili ngozi. Yaani ukiogea ngozi inakuwa na mabaka kama fungasi

    Au kuna kitu wanazidisha? hebu rekebisha kidogo tunazipenda.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 05, 2013

    Sabuni za ubuyu zina kiharufu fulani. Nadhani hicho wakitoe ndicho kinaleta madhara kwenye ngozi.

    Si sabuni za ubuyu tu hata za mwarobaini n.k hebu rekebisheni kidogo.

    Msijemkadhani zinapendwa . Ila mmoja akinunua harudi tena. Ili kuwa na bidhaa hii endelevu hebu angalia ni kuingo gani mle ndani ya sabuni kinaathili ngozi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...