Mdau Khalfan Omary Khalfan akiwa mwenye furaha baada ya kumeremeta na Bi Nasra Issa Piku Mwishoni mwa wiki kabla ya mfungo kuanza Mjini Lindi
Dunia njema hukaa wawili.....Hata ndege wawili wawili.....Hongera wadau!
  Mdau Khalfan na Bi Nasra  wakiingia katika Ukumbi wa Mtakatifu Andrea Kagwa kwa ajili ya mnuso wa  kuwapongeza baada ya kumeremeta

Watoto wa Dr Omary Khalfan wakitoa zawadi kwa baba na mama  yao katika mnuso huo ikiwa Ishara ya malezi bora kwa watoto wao
Abdulaziz Video wa Globu ya Jamii mkoani Lindi akijitambulisha wa wadau kuwa ni mmoja ya wanakamati walioandaa sherehe hiyo...Aidha Abdulaziz Video Recording ilipewa jukumu la kuhakikisha kumbukumbu ya sherehe hiyo inakuwa bora..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2013

    Walimeremeta wakati wa Ramadhan au kabla?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2013

    Dr.Khalfan mwalimu mzuri wa OBGY.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...