Fc Vito kutoka Lindi Tanzania katika picha na Hjk Juniors ya Helsinki baada ya mechi yao katika Mashindano ya Helsinki Cup yanayoshirikisha timu za vijana kutoka mataifa mbalimbali. Vito Walifanya vizuri katika michuano ya awali (Group stages) kwa kushinda mechi zote na kuonesha kiwango cha kuridhisha kabla ya kutolewa kwa penalti katika robo fainali. Vito wanatarajiwa kurudi nyumbani Tanzania Jumapili hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2013

    Du huyo beki wetu hakupewa Kadi nyekundu kweli maana alivyomtuliza huyo kijana wa kizungu ni balaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...