Mkuu wa Wilaya ya Mwanza,Amina Masenza(wa pili kushoto) akimkabidhi mjasiliamali Trekta(Power Tiller) na tela lake ,Shingi Jumanne wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu katika program ya Safari Wezeshwa iliyofanyikakwenye Uwanja wa Furahisha mwishoni mwa wiki.Kulia ni Meneja wa Bia ya Safari Lager Oscar Shelukindo na Meneja Matukio wa Kanda ya Ziwa TBL,Eric Mwayella.
Mjasiliamali,Shingi Jumanne akitoa shukrani kwa Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu katika program ya Safari Wezeshwa iliyofanyikakwenye Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza,mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa Wilaya ya Mwanza,Amina Masenza(kulia) akimkabidhi mjasiliamali Mashine na kufua umeme na ya kuranda na kuchana mbao,Simon Shija wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu katika program ya Safari Wezeshwa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Safari Lager Oscar Shelukindo.
Mkuu wa Wilaya ya Mwanza,Amina Masenza(katikati) akimkabidhi mjasiliamali Mashine ya kusaga,Depdatus Mtalemwa wakati wa hafla ya kukabidhi ruzuku kwa wajasiliamali waliofuzu katika program ya Safari Wezeshwa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Safari Lager Oscar Shelukindo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...