Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Yahya Msulwa  (aliyesimama) akizungumza na Wajumbe a Baraza la Katiba la Wilaya la Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara wakati wa kufunga mkutano wa Baraza hilo jana Jumatatu (Julai 29, 2013). Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Babati  Mjini, Bi. Christina Mndeme (kushoto).
  Mjumbe wa Baraza la Katiba la Hamshauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara, Bi. Zainab Zubery akitoa Maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo 
 Mjumbe wa Baraza la Katiba la Hamshauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara, Mchungaji  Wilson Ihucha akitoa Maoni yake kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo l
 Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Mji wa Babati Mkoani Manyara Bw. Yahya Ramadhani (kulia), akisoma nakala ya Rasimu ya Katiba Mpya ilitolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati wa mkutano uliotishwa na Tume katika Halmashauri hiyo 
 Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Bw. Bakari Mbaga akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Green Bird Wilayani humo 
Mjumbe wa Baraza la Katiba Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro, Bw. Ashrafali Mruma akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Green Bird Wilayani humo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...