Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa katika lango la kuingilia Hifadhi ya Taifa ya Kruger kwa ziara ya kujifunza. Kutoka kushoto ni Phinias Bashaya (Mwananchi); Jasper Masika Mtanzania anayeishi Johannesburg; Lilian Shirima (TBC 1); Albano Midello (Nipashe); Alex Magwiza (TBC Taifa) na Festo Sikagonamo wa ITV.
Swala wakivinjari katika Hifadhi ya Kruger.
Twiga Hifadhini Kruger.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...