Si nyingine bali ni Ngoma Africa band a.k.a FFU ughaibuni,bendi maarufu yenye
ngome yake kule Ujerumani,chini ya kamanda wao Ras Makunja,bendi hiyo
imefanya kweli siku ya jumapili 28.08.2013 katika maonyesho ya Jambo Seeheim Festival,yaliyofanyika mjini Jugenheim-Seeheim,nchini Ujerumani kuliko ungua shoka mpini ukabaki,kama kawaida yake Ngoma Africa band ilianza kuwasha muziki
mkali na kuwatia kiwewe washabiki waliokuwapo katika onyesho hilo,bendi hiyo yenye utajili wa wanamuziki wenye vipaji akiwemo afande Christian aka Chris-B,
na yule kijana Jonathan Souza a.k.a Jo Jo.
Usikose kupata burudani za FFU at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
Ngoma Africa Band Live at jambo seehim,Germany 28.07.2013.
FFU kazini kwao (mwenye miwani) ni kamanda Ras makunja.
Chipukizi wa FFU alikuapo.
Guitarist Matondo Benda.
Mr.Jo Jo, Mkaanga Chips wa Ngoma AFrica.
kazi ndio kwanza inaanza FFU kama kawaida msimu wa joto
ReplyDeletekamanda mkuu,jemedari kikosi maalum,mfalme wa Anunnaki empire,Field-mashar Ras Makunja wa FFU
ReplyDeleteFFU babu kubwa,kamanda tangu kurudishiwa bundi wake mambo yanakwenda mswano na ngome yake ya FFU inazidi kuimarika
ReplyDeletemaafande wa kikosi maalumu naona wapo gado,ninachowapendea ni kuwa mnakumbuka wajibu wenu wa kuwepo ktk malindo yenu
ReplyDeletemaafande wa kimataifa aka ffu ughaibuni,kila penye fujo mnakwenda
ReplyDeletekutuliza
wazee wa kazi ffu Ngoma Africa band chini ya kamanda mkuu ras makunja wa
ReplyDeletekurusha vya machozi