Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wananchi baada ya kuwasili kwenye  kijiji cha Mawengi wilayani Ludewa  wakati alipoziandua kinu chao cha  kukoboa  kahawa akiwa katika ziara ya mkoa wa Njombe  Julai 11,2013. Kushoto ni Mbunge wa ludewa, Deo Filikunjombe.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua kinu cha kukoboa kahawa katika kijiji cha Mawenge  wilayani Ludewa akiwa katika ziara ya mkoa wa Njombe Julai 11, 2013.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (wapili kushoto) wakikagua kinu cha kukoboa kahawa katika kijiji cha Mawengi wilayani Ludewa wakiwa katika ziara ya mkoa wa Njombe Julai 11, 2013. Kulia kwake ni Mbunge wa ludewa Deo Filikunjombe. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...