Msaidizi  wa askofu  wa kanisa la  kiinjili  la  kilutheri Tanzania (KKKT) dayosisi ya  Iringa Blaston Gavile  akiendesha  ibada ya mazishi  ya diwani Chonanga  leo makaburi ya Mtwivila mjini Iringa.
 Mlezi  wa CCM mkoa  wa Iringa  waziri mkuu Mizengo Pinda (kushoto ) mkewe Tunu Pinda wakiweka  shada la maua katika kaburi la diwani  Iddi Chonanga  leo
 Waziri mkuu Pinda  akimsubiri  mke  wake Tunu Pinda aweke shada ya maua   kabla ya kutoa heshima yao ya mwisho leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...