Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akiteremka kwenye ndege katika Uwanja wa Ndege wa Seronera, Serengeti, leo na kulakiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki.
Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti William Mwakilema mara baada ya kuwasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Waziri Mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra akisindikizwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki (kushoto) na Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu (kulia) mara baada ya kuwasili Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...