Mwili wa marehemu David majebelle ukiwasili nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam.
 Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu David Majebelle likiwa nyumbani kwake Sinza jijini Dar es Salaam wakati wa ibada.
 Ibada ya kumuimbea marehemu David Majebelle ikiendelea kanisani.
 Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu David Majebelle ukishushwa kaburini.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula (kushoto), akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu David Michael Majebele, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinodoni jijini Dar es Salaam jana. Marehemu Majebele ambaye ni mwanahabari mkongwe alifariki Jumapili iliyopita. 
Familia ya marehemu David Michael Majebele, wakiweka mashada ya maua katika kaburi, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinodnoni jijini Dar es Salaam jana. Marehemu Majebele ambaye ni mwanahabari mkongwe alifariki Jumapili iliyopita. 

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...