Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja( Kaunda suti nyeusi) akiagana na Mkuu wa Gereza la Wilaya, Mrakibu wa Magereza, Kamanda Mbilinyi mapema leo Julai 24, 2013 alipopita kukagua Gereza la Wilaya la Geita kabla ya kuendelea na safari yake Mkoani Kagera kushiriki Maadhimisho ya Sherehe za Mashujaa zitakazofanyika kesho tarehe 25 Julai, 2013 katika Kambi ya Jeshi ya Kaboya(Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Home
Unlabelled
Ziara ya Kamishna Jenerali wa Magereza Mkoani Geita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...